Sheikh alikuwa anatoa mawaidha Msikitini kwa muda mrefu, waumini wakachoka wakatoka nje.
Muumini mmoja akabaki msikitini pamoja na sheikh.
Sheikh akamwambia "bora wewe umebaki umepata thawabu binguni"
Muumini akamjibu kuwa, "mimi hapa nasubiri mkeka wangu uliokalia"
Muumini mmoja akabaki msikitini pamoja na sheikh.
Sheikh akamwambia "bora wewe umebaki umepata thawabu binguni"
Muumini akamjibu kuwa, "mimi hapa nasubiri mkeka wangu uliokalia"
No comments:
Post a Comment