Jamaa mmoja alikaribia kukata roho, wakati wa sekunde zake chache zilizobakia kufa akaomba kutoa neno la mwisho kwa Mke wake,
Akasema; Samahani sana Mke wangu nimekukosea. Nimetembea na Mdogo wako, Dada yako na Mama yako!
Mke wake akamjibu; hayo yote nayajua na ndiyo maana nimekupa sumu ili ufe!
No comments:
Post a Comment