vituko na vitimbwi (Jokes)
Blog hii ni kwa ajili vijimambo vya kuchekesha na kuliwazana
Jan 10, 2015
Aug 15, 2014
Jun 18, 2014
Jun 7, 2014
Apr 8, 2014
Mar 26, 2014
Aug 8, 2013
AINA ZA VITAMBI
1. Kitambi Mvurugo -- hiki kitambi kimekaa kama O. Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.
2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa kama herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na bia za ofa.
3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila akisimamishwa kazi kinaisha.
4. Kitambi Mtepeto -- Ni kitambi cha wastani ambacho ukivaa nguo panahakionekani. kinasababishwa na kula mno viporo.
5. Kitambi Mfumanio: hiki mtu anakuwa hana pesa ila kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa ukubwani.
6. Kitambi Mtunguo: Hiki wanacho sana wadada. Kina umbo la yai. Hiki kwa
diet hakitoki labda Kwa Maombi tu.
2. Kitambi Mchuchumio -- hiki kitambi kimekaa kama herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na bia za ofa.
3. Kitambi Mbonyeo -- Akivua shati kitovu hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila akisimamishwa kazi kinaisha.
4. Kitambi Mtepeto -- Ni kitambi cha wastani ambacho ukivaa nguo panahakionekani. kinasababishwa na kula mno viporo.
5. Kitambi Mfumanio: hiki mtu anakuwa hana pesa ila kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa ukubwani.
6. Kitambi Mtunguo: Hiki wanacho sana wadada. Kina umbo la yai. Hiki kwa
diet hakitoki labda Kwa Maombi tu.
Aug 4, 2013
Aug 2, 2013
Jul 29, 2013
Simu haipatikani Mama: mwanangu hebu mpigie simu baba yako mwambie chakula tayari. Mtoto: sawa mama Basi mtoto akampigia simu baba yake lakini hakumpata Mtoto: mama simpati Mama: basi subiri kama baada ya dakika tano mpigie tena inawezekana ni mambo ya network hayo.Baada ya dakika tano mtoto akampigia tena baba yake Mtoto:mama mimi baba simpati simu yenyewe anapokea mwanamke Mama: kha! sawa mwanangu niachie mimi hili suala wewe nenda kale.Baada kama ya dakika 30 baba akabisha hodi akakaribishwa na bonge la kibao hajakaa vizuri akapigwa na sufuria mara mwiko ikawa ni balaa kwa kwenda mbele mume akazidiwa mara majirani wakaja kuamulia ugomvi,lakini majirani walipofika wakakamkuta mume yuko chini ya sofa hoi bin taaban Mama: pumbavu zako we wa kunifanyia mimi hiviyaani unakwenda kwa malaya zako na kuniacha mimi hapa nyumbani? mwanangu hebu waambie majirani yule mwanamke alipo pokea simu alisemaje? Mtoto: alisema simu uliyopiga kwa sasa haipatikani jaribu tena baadae!
Jul 28, 2013
Hata kwa ndumba maji ya moto hayaunguzi nyumba. Piga ua aliyelala chini haanguki. Kumbuka kisu nacho kinakata lakini hakina diwani. Kumbuka serikali itapandisha kila kitu ila haiwezi kupandisha mashetani. Hata dobi ajue kupiga pasi vipi hawezi kupata namba barcelona. Hata ndoa zinavunjika lakini hazifungwi P.O.P. Kumbuka umbulula ni kufuta namba ya mpenzi wako kwenye cmu wkt unaijua kichwani. Kumbuka kama mtoto mchanga basi mkubwa jiwe. Kaa ukijua umburula ni kumwandikia m2 'i lv u' na kusubiria jibu wkt cyo swali. Piga ua garagaza aliyeshinda njaa hawezi kupewa medali.
May 23, 2013
Arusha, Kilimanjaro, Mwanza and Mbeya FM Radio
Kituo | Masafa | Eneo |
Triple 'A' FM Radio | 88.5 | Arusha |
Radio Free Africa | 89 | Arusha |
Kiss FM | 89.9 | Arusha |
TBC Taifa=Nation | 91.6 | Arusha |
Radio Safina | 92.6 | Arusha |
Mambojambo FM | 93 | Arusha |
Sunrise FM | 94.8 | Arusha |
Radio One | 95.3 | Arusha |
Clouds FM | 98.4 | Arusha |
Radio Uhuru FM | 99.7 | Arusha |
Capital Radio | 102.1 | Arusha |
Morning Star Radio | 102.5 | Arusha |
Sibuka FM | 104.6 | Arusha |
Radio 5 Arusha | 105.7 | Arusha |
Radio Sauti ya Injili | 96.2 | Kivesi Hill |
Radio Maria Tanzania | 106.7 | Sekei |
Radio Sauti ya Injili | 102.9 | Simanjiro |
Radio Sauti ya Injili | 102.9 | Monduli |
Radio Free Africa | 88.2 | Kidia |
Moshi FM | 90.2 | Moshi |
Radio Sauti ya Injili | 92.2 | Kidia |
Radio Sauti ya Injili | 96.4 | Rombo |
Radio One | 97.2 | Moshi |
Radio Sauti ya Injili | 100.4 | Same |
Capital Radio | 103.3 | Moshi |
Radio Maria Tanzania | 107.6 | Mwanga |
TBC Taifa=Nation | 88.5 | Mwanza |
Kiss FM | 88.7 | Mwanza |
TBC Taifa=Nation | 89.2 | Mwanza |
Radio Free Africa | 89.8 | Mwanza |
HHC Alive FM | 91.9 | Mwanza |
Radio Uhuru FM | 92.9 | Mwanza |
Sky FM | 94.4 | Mwanza |
Sibuka FM | 95.5 | Mwanza |
Radio SAUT | 96.1 | Nyegezi |
Afya Radio | 96.8 | Mwanza |
Radio Safari | 97 | Mwanza |
Kwa Neema FM | 98.2 | Mwanza |
Radio Sengerema | 98.8 | Sengerema |
Clouds FM | 99.4 | Mwanza |
Capital Radio | 101.2 | Mwanza |
Morning Star Radio | 102.1 | Mwanza |
Radio One | 102.7 | Mwanza |
Radio Maria Tanzania | 106 | Kawekamwe |
Kiss FM | 88.2 | Mbeya |
Radio Free Africa | 88.8 | Kawetire |
Mbeya FM | 89.5 | Mbeya |
Radio Generation FM | 89.9 | Mbeya |
Radio Country FM | 91.1 | Mbeya |
Radio Maria Tanzania | 91.9 | Kawetire |
TBC FM | 92.3 | Mbeya |
Mbeya Highlands FM | 92.7 | Mbeya |
Rock FM | 93.2 | Mbeya |
Ebony FM | 94.7 | Mbeya |
Kyela FM | 96 | Kyela |
Kiss FM | 96.4 | Mbeya |
Sibuka FM | 97.6 | Mbeya |
Ushindi FM | 98.6 | Mbeya |
Bomba FM | 104 | Mbeya |
Morning Star Radio | 106.9 | Mbeya |
Baraka FM | 107.6 | Mbeya |
HII INAITWA ELIMU
Jambazi: "wote laleni chini pesa ni za
serikali na maisha ni ya
kwenu",wote wakalala chini.
HII INAITWA DHANA YA USHAWISHI-kubadilisha njia ya kawaida ya kufikiria
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Kuna dada kwa woga akawa amelala chini kimitego,
Jambazi: "dada embu kuwa na adabu chukua kanga jifunike hili ni
tukio la ujambazi na sio la ubakaji. HUU UNAITWA WELEDI-zingatia ulichofundishwa kufanya
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Walipotoka kwenye wizi jambazi mdogo ambaye ana shahada ya
uzamili ya biashara akamwambia mwenzake,"tuzihesabu hizi
fedha,yule mkubwa akamcheka kwa dharau na kumjibu,"wewe
mjinga sana hizo hazina haja ya kuhesabu saa mbili watatutangazia
kwenye taarifa ya habari tumeiba kiasi gani.
HUU INAITWA UJUZI-Sikuhizi ujuzi ndio bora kuliko vyeti
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Baada ya majambazi kuondoka meneja akamwambia mhasibu wa
bank, " ujumlishie na zile milioni 80 tulizo iba sisi".
HUKU KUNAITWA KUOGELEA NA MKONDO WA MAJI- kushabiihana na mazingira magumu kwa faida binafsi.
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Mhasibu akafurahi na kusema,"dah wizi ukitokea kila
mwezi itakuwa burudani sana.
HUKU KUNAITWA KUWA NA MAWAZO CHANYA-Furaha ndio kitu cha muhimu zaidi
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Meneja akafurahi sana kwa kuwa sasa matatizo yake yametatuliwa
na wizi uliojitokeza.
HUKU KUNAITWA KUTHUBUTU-shikilia nafasi pale inapojitokeza hata kama ni hatari kiasi gani
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Haya usiku wake taarifa ya habari ikatangaza kuwa wizi mkubwa sana wa millioni 100 umetokea leo benki kuu,
Majambazi kusikia hivyo wakaanza kuhesabu zila pesa lakini wakajikuta na milioni 20 tu. Yule jambazi mkubwa akashtuka na kusema, "dah! yani meneja kaiba mara nne zaidi yetu bila kuchezesha msuli bora umeneja kuliko ujambazi".
HII INAITWA ELIMU- ishike sana elimu ina nguvu kuliko dhahabu
••••••••••••••••••••••••••••••••MWISHO•••••••••••••••••••••••••••
kwenu",wote wakalala chini.
HII INAITWA DHANA YA USHAWISHI-kubadilisha njia ya kawaida ya kufikiria
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Kuna dada kwa woga akawa amelala chini kimitego,
Jambazi: "dada embu kuwa na adabu chukua kanga jifunike hili ni
tukio la ujambazi na sio la ubakaji. HUU UNAITWA WELEDI-zingatia ulichofundishwa kufanya
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Walipotoka kwenye wizi jambazi mdogo ambaye ana shahada ya
uzamili ya biashara akamwambia mwenzake,"tuzihesabu hizi
fedha,yule mkubwa akamcheka kwa dharau na kumjibu,"wewe
mjinga sana hizo hazina haja ya kuhesabu saa mbili watatutangazia
kwenye taarifa ya habari tumeiba kiasi gani.
HUU INAITWA UJUZI-Sikuhizi ujuzi ndio bora kuliko vyeti
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Baada ya majambazi kuondoka meneja akamwambia mhasibu wa
bank, " ujumlishie na zile milioni 80 tulizo iba sisi".
HUKU KUNAITWA KUOGELEA NA MKONDO WA MAJI- kushabiihana na mazingira magumu kwa faida binafsi.
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Mhasibu akafurahi na kusema,"dah wizi ukitokea kila
mwezi itakuwa burudani sana.
HUKU KUNAITWA KUWA NA MAWAZO CHANYA-Furaha ndio kitu cha muhimu zaidi
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Meneja akafurahi sana kwa kuwa sasa matatizo yake yametatuliwa
na wizi uliojitokeza.
HUKU KUNAITWA KUTHUBUTU-shikilia nafasi pale inapojitokeza hata kama ni hatari kiasi gani
••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
Haya usiku wake taarifa ya habari ikatangaza kuwa wizi mkubwa sana wa millioni 100 umetokea leo benki kuu,
Majambazi kusikia hivyo wakaanza kuhesabu zila pesa lakini wakajikuta na milioni 20 tu. Yule jambazi mkubwa akashtuka na kusema, "dah! yani meneja kaiba mara nne zaidi yetu bila kuchezesha msuli bora umeneja kuliko ujambazi".
HII INAITWA ELIMU- ishike sana elimu ina nguvu kuliko dhahabu
••••••••••••••••••••••••••••••••MWISHO•••••••••••••••••••••••••••
Apr 18, 2013
Arusha, Kilimanjaro, Mwanza and Mbeya FM Radio
Kituo | Masafa | Eneo |
Triple 'A' FM Radio | 88.5 | Arusha |
Radio Free Africa | 89 | Arusha |
Kiss FM | 89.9 | Arusha |
TBC Taifa=Nation | 91.6 | Arusha |
Radio Safina | 92.6 | Arusha |
Mambo jambo FM | 93 | Arusha |
Sunrise FM | 94.8 | Arusha |
Radio One | 95.3 | Arusha |
Clouds FM | 98.4 | Arusha |
Radio Uhuru FM | 99.7 | Arusha |
Capital Radio | 102.1 | Arusha |
Morning Star Radio | 102.5 | Arusha |
Sibuka FM | 104.6 | Arusha |
Radio 5 Arusha | 105.7 | Arusha |
Radio Sauti ya Injili | 96.2 | Kivesi Hill |
Radio Maria Tanzania | 106.7 | Sekei |
Radio Sauti ya Injili | 102.9 | Simanjiro |
Radio Sauti ya Injili | 102.9 | Monduli |
Radio Free Africa | 88.2 | Kidia |
Moshi FM | 90.2 | Moshi |
Radio Sauti ya Injili | 92.2 | Kidia |
Radio Sauti ya Injili | 96.4 | Rombo |
Radio One | 97.2 | Moshi |
Radio Sauti ya Injili | 100.4 | Same |
Capital Radio | 103.3 | Moshi |
Radio Maria Tanzania | 107.6 | Mwanga |
TBC Taifa=Nation | 88.5 | Mwanza |
Kiss FM | 88.7 | Mwanza |
TBC Taifa=Nation | 89.2 | Mwanza |
Radio Free Africa | 89.8 | Mwanza |
HHC Alive FM | 91.9 | Mwanza |
Radio Uhuru FM | 92.9 | Mwanza |
Sky FM | 94.4 | Mwanza |
Sibuka FM | 95.5 | Mwanza |
Radio SAUT | 96.1 | Nyegezi |
Afya Radio | 96.8 | Mwanza |
Radio Safari | 97 | Mwanza |
Kwa Neema FM | 98.2 | Mwanza |
Radio Sengerema | 98.8 | Sengerema |
Clouds FM | 99.4 | Mwanza |
Capital Radio | 101.2 | Mwanza |
Morning Star Radio | 102.1 | Mwanza |
Radio One | 102.7 | Mwanza |
Radio Maria Tanzania | 106 | Kawekamwe |
Kiss FM | 88.2 | Mbeya |
Radio Free Africa | 88.8 | Kawetire |
Mbeya FM | 89.5 | Mbeya |
Radio Generation FM | 89.9 | Mbeya |
Radio Country FM | 91.1 | Mbeya |
Radio Maria Tanzania | 91.9 | Kawetire |
TBC FM | 92.3 | Mbeya |
Mbeya Highlands FM | 92.7 | Mbeya |
Rock FM | 93.2 | Mbeya |
Ebony FM | 94.7 | Mbeya |
Kyela FM | 96 | Kyela |
Kiss FM | 96.4 | Mbeya |
Sibuka FM | 97.6 | Mbeya |
Ushindi FM | 98.6 | Mbeya |
Bomba FM | 104 | Mbeya |
Morning Star Radio | 106.9 | Mbeya |
Baraka FM | 107.6 | Mbeya |
Subscribe to:
Posts (Atom)