Haya yametokea nchini South Afrika tena Jimboni anapoishi Mc Chris Mauki sasa
pale mtoto wa miaka 8 kuvuta mke bibi mwenye umri wa miaka 61
(Sijui ni Mjukuu ama Kitukuu chake) . Harusi imeandaliwa na familia kwa miezi 2 tu na
imegharimu pesa nyingi hapo sasa sijui muelekeo ni Hanymoon........